Wananchi wakishuhudia kibaka akichomwa moto.
KIJANA
mmoja ambaye bado hajafahamika jina lake anayedaiwa kuwa kibaka ameuawa
kwa kuchomwa moto wakati akiwaibia abiria walipata ajali na basi la
Wibonela leo asubuhi maeneo ya kona ya Phantom, Kahama.





Post a Comment