Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WANANCHI KAWE WAFUNGA BARABARA WAKIDAI MATUTA, WATAWANYWA KWA MABOMU YA MACHOZI

Polisi wakiondoa vizuizi vilivyowekwa na wananchi barabarani.
Wananchi wakionekana kusikitishwa na kitendo cha polisi kuondoa vizuizi vyao barabarani.Polisi wakiwa wamemweka chini ya ulinzi mmoja wa watu waliokuwa mstari wa mbele kufunga barabara.
Wananchi wakitawanyika baada ya polisi kupiga mabomu ya machozi.
WAKAZI wa eneo la Kawe-Bondeni jijini Dar es Salaam jioni hii wameamua kukaa katikati ya barabara eneo hilo wakiishinikiza serikali kuwawekewa matuta wakidai kuchoshwa na ajali za mara kwa mara ambazo zimekuwa zikiondoa uhai wa wapendwa wao wakiwemo wanafunzi.
Hata hivyo malengo yao hayakuweza kutimia sawasawa baada ya polisi kuingilia kati na kulazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya.
Wananchi hao wamefikia uamuzi huo baada ya kudaiwa fedha za kulipia gharama za kuhifadhi mwili katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Mwili huo ni wa mwananchi aliyegongwa na gari jana eneo hilo hilo linalolalamikiwa na wakazi hao.
PICHA ZOTE NA DENIS MTIMA / GPL)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top