Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ISLAMIC STATE WAWACHINJA WAPELELEZI WATATU MTAANI NCHINI IRAQ


Mmoja wa wapelelezi hao akichinjwa na mpiganaji wa ISIS.
Mpiganaji huyo wa ISIS akimchinja mpelelezi mwingne. Pembeni kushoto ni mwili wa mwenzake.
WATU watatu wanaodaiwa kuwa wapelelezi wameuawa kwa kuchinjwa na wapiganaji wa Kundi la ISIS nchini Iraq.
Watu hao wanatuhumiwa kwa kulipepeleza kundi hilo kwa ajili ya serikali ya Iraq.
Wapelelezi wawili waliouawa kwa kuchinjwa. Mpelelezi wa tatu hayupo pichani.
Picha zilizochukuliwa kutoka eneo la mauaji hayo zinaonyesha watu wawili wakiwa wamepiga magoti huku mpiganaji wa ISIS akiwa amesimama pembeni yao na panga mkononi kwa ajili ya kufanya mauaji hayo.
Picha hizo zilichukuliwa huko Kaskazini-Magharibi mwa Mkoa wa Nineveh nchini Iraq.
Vitendo vya mauaji ya kuchinjwa hadharani, kupigwa mawe na mauaji mengine kadhaa ya kutisha vimekuwa vikitokea mara kwa mara vikilihusisha kundi hilo la ISIS.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top