Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

DR. TWAHA MWENYEKITI MPYA WA COASTAL UNION


index
Uchaguzi uliofanyika jana tarehe 5/7/2015 matokeo yalikuwa kama ifuatavyo:
1.MWENYEKITI:
Jumla ya wapiga kura 207.
Kura zilizopigwa 205.
Kura zilizo haribika 2.

Ahmed Ally Twaha -192
Steven Mnguto 11.

2.MAKAMU MWENYEKITI:

Jumla ya wapiga kura 207.
Kura zilizopigwa 203.
kura zilizoharibika- 4

Salim Amir-
Kura za NDIYO-193
Kura za HAPANA- 9.

3.WAJUMBE KAMATI YA UTENDAJI.
Waliochaguliwa na kura zao:

1.Hassan Omary Bwana-190.
2.Hassan Ramadhan Muhsin-190.
3.Abdallah ZubeiryAlly-188.
4.Hussein Ally Mwinyi Hamis-185
5.Aggrey Ally Mbapu-179.
6.Mohamed Rajabu-179.
7.Omary Hassan Mwambashi -144.
8.Waziri Mohamed-31.
Kwa kuwa walikuwa wanatakiwa wajumbe saba tu kwa hiyo wajumbe walioshinda ni kuanzia moja mpaka saba.

Kwa kawaida uchaguzi ulifanyika kwa utulivu ukiacha vurugu za hapa na palele wakati wa kuingia ukumbini.
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top