Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Maneno ya Rais Kikwete kuhusu Wanasiasa wanaomwaga fedha!


London, 11th July 2012. London Summit on Family Planning
Rais JK.
Yafuatayo ni maneno kwenye mistari tofauti iliyoandikwa na Rais Jakaya Kikwete ikiwa ni miezi mitatu tu imebaki Tanzania kuingia kwenye uchaguzi mkuu wa Rais na Wabunge.

Hii ni tweet ya kwanza aliandika July 4 2015 >>> ‘Utaratibu bora wa kuchagua kiongozi wa nchi si wa kuanza kujadili majina, bali wa kuanza kujadili changamoto na vipaumbele vya Taifa kwanza
Tweet alizoandika July 5 2015 >>>Tusiwasikilize wanasiasa wanaowagawa Watanzania na kutumia fedha kutafuta madaraka. Mchezo wao ni mauti yetu. Wakatalieni kwa macho makavu, Tusiruhusu wanasiasa kutumia dini ambazo ni mhimili muhimu wa amani yetu. Ukiwepo mfarakano wa kidini hakuna mtu wala eneo litakalonusurika’
Mstari mwingine ameandika >>> ‘Tukiamua kwa utashi wetu kuzipoteza tunu za amani na upendo, katu hatuwezi kusema ni mapenzi ya Mungu bali itakuwa ni makosa yetu wenyewe, kiongozi wa dini anapaswa kukumbusha wajibu wa: kujiandikisha, kupiga kura na kuchagua kiongozi bora; si kuwaambia waumini wamchague fulani
JK 2
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top