Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Baraza la Vyama vya Siasa nchini latuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mchungaji Mtikila.

 Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Peter Kuga Mzirai (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es salaam alipokuwa akitoa salamu za rambirambi na kutoa taarifa ya kuahirishwa kwa kikao cha Baraza la Vyama vya Siasa kilichokuwa kifanyike tarehe 06 na 07 Oktoba, 2015 katika Hoteli Bwawani Zanzibar  hadi tarehe nyingine itakapotangazwa tena kutokana na msiba wa Mwenyekiti wa taifa wa Democratic Party (DP) Mchungaji Christopher Mtikila kilichotokea jana tarehe 04 Octoba, 2015 asubuhi kwa ajali ya gari. Kulia ni Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini Sisty Nyahoza na kushoto ni Rais wa ADA-TADEA na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge na Siasa.
 Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini Sisty Nyahoza (wa pili kulia) akimkaribisha Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Peter Kuga Mzirai (wa pili kushoto) kuongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es salaam alipokuwa akitoa salamu za rambirambi na kutoa taarifa ya kuahirishwa kwa kikao cha Baraza la Vyama vya Siasa kilichokuwa kifanyike tarehe 06 na 07 Oktoba, 2015 katika Hoteli Bwawani Zanzibar  hadi tarehe nyingine itakapotangazwa tena kutokana na msiba wa Mwenyekiti wa taifa wa Democratic Party (DP) Mchungaji Christopher Mtikila kilichotokea jana tarehe 04 Octoba, 2015 asubuhi kwa ajali ya gari. Wa kwanza kushoto ni Rais wa ADA-TADEA na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge na Siasa na wa kwanza kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Monica Lawrence.
Baadhi wa waandishi wa habari wakiendelea na majukumu yao wakati wa mkutano na Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Peter Kuga Mzirai leo jijini Dar es salaam alipokuwa akitoa salamu za rambirambi na kutoa taarifa ya kuahirishwa kwa kikao cha Baraza la Vyama vya Siasa kilichokuwa kifanyike tarehe 06 na 07 Oktoba, 2015 katika Hoteli Bwawani Zanzibar  hadi tarehe nyingine itakapotangazwa tena kutokana na msiba wa Mwenyekiti wa taifa wa Democratic Party (DP) Mchungaji Christopher Mtikila kilichotokea jana tarehe 04 Octoba, 2015 asubuhi kwa ajali ya gari.
(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top