Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWSSS ... VIGOGO WANNE WA BOHARI KUU YA DAWA (MSD) WASIMAMISHWA KAZI BAADA YA KULAMBA BILIONI MOJA NA NUSU

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi vigogo wa nne wa bohari ya dawa MSD kanda ya Dar es Salaam kwa upotevu wa fedha kiasi cha shilingi Bilioni 1.5.Vigogo wa nne wa Bohari ya dawa MSD Waliosimamishwa kazi ni pamoja na Mkurugenzi wa kanda huduma kwa wateja Cosmas Mwaifwani.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top