Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASHIRIKI IBADA YA KUMSIMIKA ASKOFU MKUU WA PILI WA EAGT, DKT MWAKIPESILE


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Ibada ya kumsimika Askofu Mkuu wa Pili wa EAGT, Dkt. Brown Abel Mwakipesile iliyofanyika kwenye Kanisa la EAGT Mlimwa West mjini Dodoma Februari 7, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya picha Askofu Mkuu wa Pili wa EAGT, Dkt. Brown Abel Mwakipesilie zawadi ya picha yenye maadishi ya neon la Mungu katika Ibada ya kumsimika Askofu huyo iliyofanyika kwenye kanisa la EAGT Mlimwa West mjini Dodoma Februari 7, 2016.
Waziri kuu, Kassim Majaliwa akiteta na Askofu Mkuu wa Pili wa EAGT, Dkt. Brown Abel Mwakipesile katika Ibada ya kumsimika Askofu huyo iliyofanyika kwenye kanisa la EAGT Mlimwa West Mjini Dodoma Februari 7, 2016.
Baadhi ya Waumini wa EAGT wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza katika Ibada ya kumsimika Askofu Mkuu wa Pili wa EAGT, Dkt Brown Abel Mwakilpesile kwenye kanisa la EAGT Mlimwa West mjini Dodoma Feb 7, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top