Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ZITTO ATAKA MALI ZA VIONGOZI ZIWEKWE HADHARANI

Zitto Amefunguka Haya kwenye ukurasa wake wa Facebook:

"Rais Magufuli aagize Mali na Madeni ya Viongozi yawekwe wazi kweny tovuti ya Tume ya Maadili ya Viongozi ( sheria irekebishwe kuzuia watu wanaoona matamko kuziweka wazi, bila uwazi ni vigumu kupambana na rushwa)"

"Taarifa kwamba kuna Mawaziri ambao hawakujaza fomu za Maadili au kuficha mali zao katika tangazo la Mali na Madeni ni jaribio kubwa kwa Rais Magufuli kuhusu dhamira yake ya kupambana dhidi ya Ufisadi. Sheria ya Maadili ya sasa, licha ya udhaifu wake, ikitekelezwa ( enforced) ni silaha bora ya kuweka misingi ya Maadili katika Uongozi wa Umma" Zitto Kabwe
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top