Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWSSS .. BASI LA MACHAME LAPATA AJALI MBAYA ENEO LA MSATA

 Watu wawili wamejeruhiwa na wengine kadhaa kunuaurika baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupinduka katika eneo la Msata, mkoani Pwani.
Taarifa kutoka eneo la tukio zinasema kuwa waliojeruhiwa ni pamoja na dereva wa basi hilo, mali ya kampuni ya Machame, lenye namba za usajili T 712 DCL.
Basi hilo lililokuwa linatoka Dar kuelekea Arusha, lilipinduka kufuatia kupasuka kwa tairi ya mbele upande wa kulia, ambapo liliacha njia na kugonga kingo za barabara. Mwingine ni mwanamke ambaye jina lake pia halijaweza kupatikana, ambaye alikuwa abiria katika basi hilo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top