Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

GUMZO MITANDAONI .... MKUU WA MKOA AMWANGUKIA RAIS MAGUFULI

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro aliyemaliza muda wake, Dk. Rajab Rutengwe amemuomba msamaha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dk. John Pombe Magufuli kwa kushindwa kuendana na kasi ya "HAPA KAZI TU" hali iliyopelekea kuwekwa pembeni na nafasi yake kuchukuliwa na Dk. Kebwe Kebwe, ambapo amemuomba amfikirie upya kutokana na kutokujua pa kushika baada ya kuwekwa kando.

Dk. Rutengwe Aliyasema hayo wakati wa hafla fupi ya kukabidhi ofisi kwa Mkuu mpya wa mkoa huo, Dk Kebwe S. Kebwe
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top