Chuo kikuu cha Nairobi nchini Kenya kimefungwa siku moja baada ya ghasia na malumbano kuhusu matokeo ya uchaguzi wa wanafunzi.
Kimesema kuwa bodi kuu ya chuo hicho ilifanya mkutano na kuamua kufunga chuo hicho.
Wanafunzi waliamrishwa kuondoka kufikia saa kumi na moja jioni siku ya Jumanne.
Wanafunzi wa chuo hicho walifanya uchaguzi Ijumaa iliopita,huku walioshindwa wakiandaa maandamano siku ya Jumatatu yaliovutia umati mkubwa wa polisi katika chuo hicho.
Loading...
BLOG RAFIKI
-
-
-
Kwa Undani11 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
Serikali yatoa kauli kuhusu Dbi ya Kariakoo9 months ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-



Post a Comment