Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

DAWASCO YATOA MKONO WA POLE KWA MWANAMKE ALIYEPATA ULEMAVU KWA KUTAFUTA MAJI

Mkurugenzi wa Sheria wa Mamlaka ya Maji Safi na Majitaka (Dawasco), Bernadetha Mkandya akiwakatika picha ya pomoja na wafanyakazi wa(Dawasco), leo,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Sheria wa Mamlaka ya Maji Safi na Majitaka (Dawasco), Bernadetha Mkandya akimkabidhi hundi ya sh mil 2.5 Dada Asha Chande Ramadhani ikiwa ni sehemu ya kumpa pole kufuatia kupata ulemavu wa mguu wakati wa harakati ya kutafuta maji .Dawasco imetoa mkono wa pole, Mchele Maharage Unga wa Mahindi na Sukari pamoja na hundi ya Sh. Milioni 2.5.
Asha Chande Ramadhani akitoa neno la shukrani baada ya kupokea msaada wa kutoka Dawasco leo,jijini Dar es Salaam.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top