Mkurugenzi wa Sheria wa Mamlaka ya Maji Safi na Majitaka (Dawasco), Bernadetha Mkandya akiwakatika picha ya pomoja na wafanyakazi wa(Dawasco), leo,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Sheria wa Mamlaka ya Maji Safi na Majitaka (Dawasco), Bernadetha Mkandya akimkabidhi hundi ya sh mil 2.5 Dada Asha Chande Ramadhani ikiwa ni sehemu ya kumpa pole kufuatia kupata ulemavu wa mguu wakati wa harakati ya kutafuta maji .Dawasco imetoa mkono wa pole, Mchele Maharage Unga wa Mahindi na Sukari pamoja na hundi ya Sh. Milioni 2.5.
Asha Chande Ramadhani akitoa neno la shukrani baada ya kupokea msaada wa kutoka Dawasco leo,jijini Dar es Salaam.
Post a Comment