Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MTOTO WA AJABU AZALIWA CHAMWINO, DODOMA

Hofu imezuka kwa wakazi wa kijiji cha Manchali, wilayani Chamwino mkoani Dodoma baada ya mama mmoja aliyetambulika kwa jina la Joyce Elias kujifungua mtoto wa ajabu akiwa na uzito usio wa kawaida wa kilo 4 na gramu 900 huku kichwa chake kikiwa ni kidogo chenye uwazi sehemu ya utosini na kuitaka serikali kutuma wataalam wa afya kuchunguza tatizo hilo wakidai linafanana na viashiria vya ugonjwa wa homa ya zika.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top