Loading...
BREAKING NEWS ... MKUU WA MKOA ASHIKWA UGONI NA MWANAE
Aliyekua mkuu wa mkoa wa kaskazini Pemba mh.Faki Dadi Faki (pichani aliyepo kifua wazi) amekutwa geust akiwa na mtoto wa mke wake wa ndoa mchana huu, na inasemekana ni mtu na mpenzi wake,ila baada ya mtoto kutiliwa mashaka akajaribu kuficha ficha leo ametegwa na kunaswa kwenye mtego ulioshuhudiwa na mama yake mzazi (mtoto akikutwa kitandani na baba wa kambo) hayo yalifanyika katika hotel ya excutive iliopo pembeni ya makao makuu ya uhamiaji
BLOG RAFIKI
-
-
-
-
-
Magazeti ya leo Aprili 26, 202412 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment