Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WASTARA AFUNGUKA JUU YA NDOA YAKE MPYA

Msanii wa bongo Movie Wastara Juma afunguka juu ya stori zinazozagaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii na magazeti ya udaku kuwa hataki tena Ndoa.
 
Akizungumza na Enewz Wastara alikanusha tuhuma hizo na kusema kuwa ndoa yake na mheshimiwa ilikua imejaa timbwili timbwili na makubwa mpaka ikapelekea akadai talaka na baada ya mheshimiwa kusanda pia wametokea wengi kutaka kumuoa bila kujali hali yake.
 
“Kusema sitaki ndoa ni kitu ambacho hakiwezekani isipokuwa tu kwamba kila hatua moja ninavyopiga najifunza kutokana na makosa mimi nikisema sitaki tena mapenzi nitakuwa namkufuru mungu nikitaka kuolewa nitaolewa tu muda wowote”,alisema Wastara
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top