Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WATUMISHI WA CCM MKOA WA PWANI WAPATA UGENI MZITO

Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara, Rajab Luhwavi akivishwa Skafu na Kijana wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Omari Salum, alipowasili Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, Wilayani Kibaha mkoani humo leo. Katikati ni Katibu wa CCM mkoa wa Pwani Joyce Masunga na kulia ni Katibu wa UVCCM wilaya ya Kibaha, David Malecela.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rajab Luhwaavi, akiongozana na Katibu wa CCM mkoa wa Pwani, Joyce Masunga, kwenda Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, wilayani Kibaha leo
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwai akisalimia baada ya viongoi baada ya kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, kuzungmza na wafanyakazi wa CCM mkoa wa Pwani wilayani Kibaha leo
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwai akisalimia baada ya viongoi baada ya kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, kuzungmza na wafanyakazi wa CCM mkoa wa Pwani wilayani Kibaha leo 
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara Rajab Luhwavi akisaibi kitabu cha wagei katika Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, wilayani Kibaha leo. Kulia ni Katibu wa CCM mkoa wa Pwani, Joyce Masunga.
Watumishi wa CCM wakimkaribisha ukumbini Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rajab Luhwavi akiingia ukumbini kuzungumza na wafanyakazi wa CCM wilaya za mkoa wa Pwani katika kikao alichofanya na wafanyakazi hao katika Ofisi ya CCM ya mkoa iliyopo wilayani Kibaha.
Naibu Katibu Mkuu Luhwai baada ya kuwasili ukumbini
Katibu wa CCM mkoa wa Pwani Joyce Masunga akisoma taarifa 
Katibu wa CCM mkoa wa Pwani Joyce Masunga akisoma taarifa
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara Rajab Luhwavi akizungumza na wafanyakazi wa CCM kutoka wilaya zote za mkoa wa Pwani, katika kikao chake na wafanyakazi hao kilichofanyika wilayani Kibaha mkoa wa Pwani. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top