Katika hali isiyo ya kawaida msafara wa waziri wa Katiba na Sheria Harrison Mwakyembe umepatwa na ajali ya kupinduka kwa gari lakini paka sasa hivi hakuna mtu ambae amejeruhika kwa habari kamili endelea Endelea kuwa nasi..
Ni kijiji cha Bwanga ndipo ajali ambapo imetokea gari iliyopinduka ni gari ambayo alikuwa amepanda Mkurugenzi wa mashitaka na makosa ya jinai amepanda nchini jina bado sijalipata nafanya mpango wa kulitafuta. Anatokea Geita anaelekea Wilaya ya Chato ila alisimamishwa na wananchi wa kata ya Buseresere
Ajali hiyo imesababisha na watoto ambao walikuwa wakivuka barabara Dereva alikuwa akifanya jitihada za kuwakwepa ndipo gari ikawa imekura mtama nakupinduka.
NA M BLOG
Ajali hii imetokea leo majira ya saa 10:40 jioni hii
Hizi ndizo picha za Ajali hiyo..
Post a Comment