Loading...
Home »
Unlabelled »
PICHA ZAIDI ZA NDOA YA ZITTO KABWE
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe jana aliuacha rasmi ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake aliyemvisha pete ya uchumba miezi miwili iliyopita, ndoa na tafrija zote zilifanyika Zanzibar.
on Friday, July 15, 2016
Post a Comment