Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MO RASMI SIMBA

 Siku mbili baada ya viongozi wa klabu ya Simba kukutana na Rais na Mkurugenzi mtendaji wa makampuni ya Mohammed Enterprises Limited (MeTL) Bw. Mohammed Dewji na kujadili namna ya kuiendesha klabu hiyo kwa fumo mpya wa hisa na kuachana na mfumo wa zamani wa uanachama.

Leo August 17, klabu ya Simba imetoa makubaliano yaliyofikiwa katika kikao hicho.

Ikumbukwe Dewji aliomba kununu asilimia 51 za hisa kwa shilingi bilioni mbili za Tanzania.


Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top