Loading...
ALIYEKUWA KATIBU UVCCM (W) FRANK KIBIKI AAGWA MUHIMBILI
*KAIMU KATIBU MKUU UVCCM TAIFA NDG SHAKA.H.SHAKA AMEONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA KATIBU WA UVCCM NDG FRANK KIBIKI MUHIMBILI*
Kufuatia kufariki kwa Ndg Frank Kibiki aliyepata kuwa katibu wa Uvccm wilaya mbalimbali nchini leo kaimu katibu mkuu aliwaongoza Viongozi na waombolezaji katika kuaga mwili wa marehemu Frank Kibiki na pia kutoa mkono wa Pole kwa mjane wa marehemu Bibi Tumaini Msowoya ambae nae alipata kuwa mkt Uvccm mkoa wa Iringa.
Katika ibada hiyo iliyofanyika hapo muhimbili kaimu katibu mkuu alisema"Uvccm tumepokea kwa mshtuko taarifa za msiba wa ndg yetu Kibiki marehemu alikuwa ni mchapakazi na mbunifu katika kazi na msiba huu ni wetu sote na hakika umetugusa "
Marehemu pia aliwahi kuwa muandishi wa habari wa gazeti la Uhuru.
Kaimu katibu mkuu kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi na umoja wa vijana aliwasilisha salam za Rambirambi.
Bwana alitoa na bwana ametwaa lihimidiwe jina la bwana.
BLOG RAFIKI
-
-
-
-
-
Kurasa za magazeti Aprili 19, 202412 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment