Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SERIKALI KUPIGA MNADA SUKARI ILIYOTELEKEZWA



Serikali kupiga mnada takribani tani 1,000 za sukari zilizotelekezwa kwenye bandari ya Dar na wafanyabiashara ikisemekana wanahofia mchanganuo wa kodi.

TRA tayari imeweka makontena 44 kwa ajili ya mnada wiki ya kwanza ya Oktoba iwapo wamiliki wake watashindwa kujitokeza na kudai mzigo wao ndani ya siku 30

Chanzo Jamii forum
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top