Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Tabia 10 zinazoharibu figo

Tabia 10 zinazoharibu Figo
  • Kubana mkojo muda mrefu
  • Kutokunywa maji ya kutosha kila siku
  • Kutumia chumvi nyingi kuzidi kiwango
  • Kula nyama mara nyingi
  • Kutokula chakula cha kutosha
  • Kuchelewa kujitibu maambukizi madogo madogo haraka na kwa usahihi
  • Kutumia visivyo dawa za kutuliza maumivu
  • Kutumia dawa kwa ajili ya insulin kwa muda mrefu
  • Kunywa pombe kupita kiasi
  • Kutopata muda wa kutosha kupumzika

Kunywa glasi 2 za juisi ya parachichi kila siku kutaziweka figo zako katika hali ya usafi na afya.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top