Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Kigogo Wizara ya Afya afariki Dunia kwa ajali mbaya




TANZIA
Katibu Mkuu ,Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto anasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi wake ambaye alikuwa Mkurugenzi Msaidizi,Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma,Bi.Hellen Semu,kilichotokea leo mchana tarehe 16/10/2016 kwa ajali ya gari eneo la Mkwazu kwa Msakamali,Wilayani Chalinze akiwa njiani kuelekea Mkoani Dodoma kikazi.

Taarifa zingine za msiba zitatolewa baada ya kuwasiliana na familia ya Marehemu.

Katibu Mkuu anawapa pole Familia ya Marehemu pamoja na wafanyakazi wote wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto.

BWANA ALITOA,BWANA AMETWAA,JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.AMEN

Imetolewa na;
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto(Afya)
16/10/2016
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top