Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Rais Magufuli aongoza kwa kura tuzo za Forbes



Jarida maarufu la Forbes la nchini Marekani limemtaja Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli kuwania tuzo ya Forbes Africa Person of The Year.

Rais Magufuli anachuana na watu wengine wanne wakiwemo: Rais wa Mauritius, Ameenah Gulib, Mwanzilishi wa Capitec Bank, Michiel Le Roux na Thuli Madonsela wa Afrika Kusini pamoja na watu wa Rwanda.

Mwaka jana, 2015 Mfanyabiashara Mohammed Deji wa Tanzania alishinda tuzo hiyo, huku mfanyabiashara wa Nigeria Aliko Dangote akiwa ndiye mshindi wa mwaka 2014.

Hadi sasa Rais Magufuli anaongoza kwa asilimia 75% Kwenye kinyanganyiro hicho.

Tuzo hizo kwa mwaka huu zitatolewa jijini Nairobi, Kenya November 17.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top