Loading...
BREAKING NEWS ... Ester Bulaya ambwaga tena Steven Wassira
Habari iliyoifika kutokea Bunda inasema Mbunge wa zamani Steven Wassira ameshindwa tena kwenye Rufaa yake na Ester Bulaya Mbunge wa Bunda.
Taarifa kutokea Bunda: Mbunge wa jimbo la Bunda-mjini, Esther Amos Bulaya, ameshinda kesi yake ya uchaguzi iliyokuwa ikimkabili, iliyofunguliwa na wanachama 4 wa CCM na aliyekuwa mgombea ubunge wa chama hicho, Steven Wassira.., kesi hiyo ya kupinga matokeo ya uchaguzi ilifunguliwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, lakini ilikuwa inasikilizwa mjini Musoma, Mara.
Chanzo: JF
Post a Comment