Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Hali ilivyo sasa msiba wa Samwel Sitta Urambo mkoani Tabora




Mamia ya wananchi mkoani Tabora wamejitokeza kumuaga kipenzi chao Spika wa Bunge Mstaafu, Samuel Sitta aliyefariki usiku wa kuamkia Jumatatu ya wiki hii.

Wananchi hao wamejitokeza katika Uwanja Shule ya Msingi Urambo jirani ya nyumbani kwake Sitta. Shughuli ya kutoa heshima za mwisho wa wananchi hao imeanza saa moja asubuhi.

Wananchi hao walijipanga katika mstari mrefu kwa ajili ya kupita pembeni mwa jeneza lenye mwili wa Sitta, ambapo toka asubuhi maduka mengi wilayani Urambo yalikuwa yamefungwa.

PICHA NA EDWIN MJWAHUZI - MCL
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top