Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TANESCO yapeleka maombi kupandisha bei ya umeme



Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) limepeleka maombi EWURA ya kupandisha Bei ya Umeme kwa takribani asilimia 18.19 ifikapo mwaka 2017.

- Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Felchismi Mramba amesema shirika hilo limefanya tathmini na kujiridhisha kuwa hakuna hasara itakayopatikana endapo bei hiyo itatumika.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top