Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWS .... CCM yashinda Umeya Kigamboni

Dar es Salaam. Diwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.

Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika  Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.

Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Upendo Wera amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.

Wera ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top