Loading...
BREAKING NEWS ... Kimenuka jiji la Mwanza
Machinga, mama ntilie, biashara kandokando ya barabara, garage woooote wanaondolewa ndani ya jiji. Shughuli imeanza alfajiri ya Giza Leo Jumamos. Police, mgambo, JKT wametanda maeneo yote ya jiji. Matingatinga yanatumika kubomoa na kusafisha. Hali ni tete sana!!!!! Maeneo yafuatayo sasa hakuna kitu; Makoroboi, Kirumba sokoni, Tanganyika, darajani, dampo, liberty, natta, sahara, Kamanga ferry nk. Inasikitisha saaana!!!! Vitu vinapotea, Watu wanalia, maduka yamefungwa.
BLOG RAFIKI
-
-
-
Jioni7 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
Serikali yatoa kauli kuhusu Dbi ya Kariakoo9 months ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-





Post a Comment