Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Dk. Magufuli aongoza kikao cha Halmashauri kuu ya CCM Taifa

mwe5
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi pamoja na Makamu Mwenyekiti wa (CCM Zanzibar) Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Philip Mangula kabla ya kuanza kikao hicho jijini Dar es Salaam. 
 Katibu Mkuu Chama Cha Mapinduzi Ndg:Abrahmani Kinana akizungumza Na Wajumbe wa Halmashauri kuu Na KUMkaribisha Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi DKT.John Pombe Magufuri Kufungua Mkutano wa Halmashauri kuu ya CCM leo  
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC kabla ya kufungua rasmi Kikao hicho jijini Dar es Salaam
    Sehemu ya Wajumbe wa Kamati kuu ya ChamaCha Mapinduzi (CCM) wakisikiliza Hotuba ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli 
 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC kabla ya kufungua rasmi Kikao hicho jijini Dar es Salaam
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM SHAKA HAMDU SHAKA (MNEC) akisikiliza Mkutano
mwe2
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC kabla ya kufungua rasmi Kikao hicho jijini Dar es Salaam.PICHA NA UVCCM
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top