Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

VIDEO: Rais Magufuli akitembea kama Mwanajeshi baada ya kukagua gwaride

Leo Desemba 9 Tanzania Bara imeazimisha miaka 55 tangu ilipopata uhuru wake kutoka kwa wakoloni mwaka 1961. 

Maadhimisho hayo yamepambwa na shughuli mbalimbali za kijeshi lakini pia ngoma za asili kutoka kwa makundi mbalimbali.

Mbali na mambo hayo yaliyoonekana kuwavutia wengi, jambo lingine lililowafurahisha ni pale Rais Dk Magufuli alipoamua kutembea kiukakamavu kama mwanajeshi mara baada ya kumaliza kukagua gwaride katika maadhimisho haya ya 55 ya uhuru.

Hapa chini ni video ra Rais Dk Magufuli akitembea kiukakamavu baada ya kukagua gwaride katika sherehe za uhuru.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top