Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Washindi wa EATV Awards 2016 hawa hapa ....


Historia imeandikwa kwenye tasnia ya sanaa nchini ambapo kwa mara ya kwanza tukio la utoaji wa tuzo za #EATVAwards kwa wasanii wa muziki na filamu Afrika Mashariki, limefanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam. 
 
Tuzo hizo zilizoandaliwa na East Africa Television Ltd, zimekuwa za kwanza Afrika Mashariki, ambapo wasanii mbali mbali wamefanikiwa kujinyakulia tuzo zao.
  
Tazama orodha nzima ya washindi hapa chini..
  
Kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume 
G Nako – 'Original'
Sheta –'Namjua'
Mwana FA – 'Ahsanteni kwa Kuja'
Alikiba – 'Aje' --- MSHINDI 
Ben Pol – 'Moyo Mashine'
  
Mwana muziki bora wa kike 
Lilian Mbabazi – 'Yoola'
Ruby – 'Forever'
Lady Jay dee – 'Ndindindi' --- MSHINDI 
Linah – 'No stress'
Vanessa Mdee – 'Niroge'
  
Mwanamuziki bora chipukizi 
Manfongo – 'Hainaga ushemeji' --- MSHINDI 
Feza Kessy – 'Sanuka'
Rukia Jumbe (Ruky Baby) – 'Mpasuo'
Bright – 'Nitunzie'
Mayunga – 'Nice couple'
  
Kundi bora la mwaka 
Navy kenzo – 'Kamatia chini'--- MSHINDI 
Mashauzi Clasic - 'Kismat'
Team Mistari – 'Tuzidi'
Sauti Sol – 'Unconditional bae'
Wakali wao – 'Chozi langu utalilipa'
  
Video bora ya mwaka 
Njogereza – Navio
Namjua – Shetta
Aje – Alikiba -- MSHINDI 
Don't Bother – Joh Makini
Ndindindi – Lady Jaydee
  
Wimbo bora wa mwaka
Don't bother – Joh Makini
Ndindindi - Lady Jayedee
Kamatia chini - Navy Kenzo
Moyo mashine – Ben Pol
Aje – Alikiba --- MSHINDI 
  
Filamu bora ya mwaka 
Facebook profile
  
Safari ya Gwalu --- MSHINDI 
Mfadhili wangu
Hii ni laana
Nimekosea wapi
  
Muigizaji bora wa kiume 
Meya Shabani Khamisi
  
Salim Ahmed (Gabo) --- MSHINDI 
Daudi Machael (Duma)
Doto Hussein Matotola
Said Mkukila
  
Muigizaji bora wa kike 
Chuchu Hansy --- MSHINDI 
Rachel Bithulo
Frida Kajala Masanja
Khadija Ally
  
TUZO YA HESHIMA
DJ Maarufu bongo Boniventure Kilossa (Dj Bonny Love) ndiye mtu aliyepewa tuzo maalum ya heshima, akitambuliwa kutokana na mchango wake kwenye tasnia ya sanaa hapa nchini
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top