Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWS ... Mbunge Lijuakali ahukumiwa kifungo cha miezi 6 jela bila ya faini

Mbunge wa Jimbo la Kilombero, Peter Lijualikali na Dereva wake, John Kibasa wamehukumiwa kwenda jela miezi sita bila faini kwa kosa la kufanya vurugu kipindi cha uchaguzi mwaka 2015.

Hukumu hiyo imetolewa leo katika Mahakama ya Wilaya ya Kilombero na sasa amepelekwa gerezani huku taratibu za kukata rufaa zikiendelea.

Hukumu hiyo ilisomwa chemba lakini wabunge wawili wa Chadema Joseph Haule (Mikumi) na Ester Bulaya (Bunda Mjini) waliingia na kusikiliza hukumu.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top