Habari Kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Sasa#-
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mh.Benjamini Sitta ameshinda Kesi iliyofunguliwa na UKAWA .Madai ya Kesi yao imetupiliwa Mbali .Mahakama imemtambua Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mh.Benjamini Sitta ni Meya Halali
on Friday, January 20, 2017
Post a Comment