Loading...
DK NCHIMBI AMFUTIA SHTAKA LA SH1 BILIONI KADA WA CCM
Balozi Mteule, Dk Emmanuel Nchimbi amepokea ombi la kuombwa msamaha kutoka kwa kada wa CCM James Mwakibinga aliyemtuhumu kujimilikisha sehemu ya jengo la Umoja wa Vijana wa CCM, mwishoni mwa mwaka jana.
Dk Nchimbi kupitia kwa wakili wake, Silvanus Mayenga kutoka FK Law Chambers alimfungulia Mwakibinga shauri la madai Na.300 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akitaka amlipe fidia ya Sh1 bilioni kwa kumchafulia hadhi yake mbele ya jamii ikiwa pamoja na kumtuhumu kuuza viwanja 200 vya UVCCM vilivyoko Temeke http://www.mwananchi.co.tz/habari/Dk-Nchimbi-amfutia-shtaka-la-Sh1-bilioni--kada-wa-CCM/1597578-3508272-41ms2sz/index.html
BLOG RAFIKI
-
-
-
Hezbollah yashambulia Israel1 hour ago
-
-
Magazeti ya leo Aprili 26, 202412 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment