Loading...
Mkuu wa wilaya amwondolea kesi mwandishi wa habari
Mkuu wa wilaya ya Kahama Fadhili Nkurlu ameondoa mahakamani kesi aliyokuwa ameifungua dhidi ya Mwandishi wa habari Paul Kayanda.
Hatua hiyo inafuatia kikao cha usuluhishi kati ya Uongozi wa Klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga (SPC) ,waandishi wilayani Kahama,Mkuu wa wilaya pamoja na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya hiyo kilichofanyika Desemba 31,2016.
Pande zote mbili zimetia saini hati ya kuondoa kesi mahakamani.
Mwenyekiti-SPC
BLOG RAFIKI
-
-
-
Hezbollah yashambulia Israel1 hour ago
-
-
Magazeti ya leo Aprili 26, 202412 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment