Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Umeme wakatika nchi nzima .... Chanzo chatajwa ...

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake na Umma kwa ujumla kuwa kumetokea hitilafu katika Kituo kikubwa cha kupoza na kusambaza Umeme cha Ubungo, hitilafu hiyo imesababisha Grid ya Taifa kutoka na kusababisha Mikoa yote iliyounganishwa katika Grid ya Taifa kukosa Umeme.

Mafundi wanaendelea na jitihada ya kurejesha Umeme katika hali yake ya kawaida.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza.

Imetolewa na; Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makuu

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top