Moto ulizuka Terminal 2 ya Uwanja wa ndege wa Dar (JNIA) jana usiku na hivyo kuathiri wasafiri wanaotumia huduma za upande huo wa uwanja. Juhudi zinafanywa na wahusika kuurudisha kwenye hali yake uwanja huo na wasafiri wanashauriwa kutumia Terminal 1,yaani ule uwanja wa ndege ndogo
Post a Comment