Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWS ... Steve Nyerere afunguka mazito muda huu






STEVE NYERERE AFUNGUKA MAZITO LEO FEB 25, 2017

Kati ya wasanii waliolipwa fedha nyingi na CCM ni dada (Wema Sepetu), na hakuna msanii wa Mama Ongea na Mwanao anayeidai CCM- Steve Nyerere

CCM tulifanya kampeni na tulilipwa, hatukuingia mkataba kuwa baada ya kampeni ukikamatwa na unga, CCM itakulinda na kukutetea- Steve Nyerere

Si kweli kuwa nilishinikiza wabunge wamjadili Wema, nilitumia sanaa tu kumlaghai Mama Wema atulie kuhusu Wema kukamatwa- Steve Nyerere

Si kweli kuwa nilishinikiza wabunge wamjadili Wema, nilitumia sanaa tu kumlaghai Mama Wema atulie kuhusu Wema kukamatwa- Steve Nyerere

Sijazungumza na Waziri yeyote kuhusu Wema kukamatwa, nilitaka kumtuliza Mama. Ni kama kumlaghai mtoto na pipi achomwe sindano- Steve Nyerere

Niwaombe radhi wote niliowataja katika mazungumzo yangu, sikufanya kwa nia mbaya, nilitaka kukilinda chama na kumsaidia Wema- Steve Nyerere

Niliombe radhi Bunge tukufu, nimuombe radhi Spika Ndugai kwa kudanganya kuwa nilishinikiza Wabunge wamjadili Wema Sepetu- Steve Nyerere

Nimuombe radhi Rais Magufuli kwa kuwatumia Mawaziri wake aliowaamini katika hili, lakini sikufanya kwa nia mbaya- Steve Nyerere

Kama wanadhani nitahama nao, wamepotoka. Hata kama ni kuhama, mimi nitakuwa msanii wa mwisho kuhama CCM- Steve Nyerere
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top