Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

IGP Simon Sirro atema cheche



IGP Simon Sirro: Wahalifu wa Pwani wanakamatwa na wataendelea kukamatwa- Tutahakikisha watu wa Ikwiriri na Kibiti wanaishi kwa amani

"Si sahihi kumpiga mwandishi wa habari kwa sababu ni mwandishi wala kumpiga mhalifu kama imetokea tutapeleleza tutachukua hatua"-IGP Sirro

"Wahalifu Pwani hawajatuzidi nguvu na hawatatuzidi nguvu"-IGP Simon Sirro

"Watanzania wanaouawa na watu wanaodai wana hasira kali ni 200 kwa mwaka, idadi hii ni kubwa sana"-IGP Sirro

"Atakayesaidia kukamata watu wanaousumbua huko Kibiti, Mkuranga, Rufiji mimi kama IGP nitatoa milioni 10 kwa mtu atakayefanikisha"-IGP Sirro

"Nchi yetu ni shwari ukiangalia mikoa yetu hatuna matukio ya kutisha, tatizo tulilonalo ni mkoanu Pwani tu" -IGP Simon Sirro
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top