Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Makonda apata ugeni mzito







Rais wa Makampuni *CNBM*  kutoka Beijing CHINA *Bw. Cao Jiang Lin* amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam *Mhe Paul Makonda,* jiji Dar es salaam.

Katika mazungumzo hayo, *Bw. Lin* amemuhakikisha mkuu wa mkoa *Mhe Makonda* kuwa makampuni mengi yameonyesha nia ya dhati ya kuja kuwekeza *Tanzania* na Dar es salaam ambapo tayari baadhi ya makampuni yameshaanza kuwekeza jijini *Dar es salaam.*

Katika Mazungumzo yao, *Bw. Lin* amemuahidi Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam *Mhe Makonda* kuwapatia *kazi vijana wa Dar es salaam zaidi ya  500* kupitia ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Ikumbukwe makampuni ya *CNBM* yako zaidi ya *500 duniani* na ndiyo makampuni yanayoongoza kwa uzalishaji wa cement na bidhaa zaidi ya *15,000 DUNIANI.*


*Imetolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.*
*27/05/2017*
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top