Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Prof. Muhongo akalia kuti kavu




Rais wa John Magufuli amtaka Waziri wa Nishati na Madini, Professa Sospiter Muhongo achie nafasi yake.

"Ninampenda sana Professa Muhongo, lakini pia ni rafiki yangu, lakini kwenye hili naomba kajifikirie na haraka sana uachie ngazi"

Rais Magufuli amesema hayo leo alipopokea taarifa ya kamati ya Uchunguzi wa Kontena wa Mchanga wa Dhahabu.

Niwakati wa makabidhiano ya Ripoti ya Kamati Maalum iliyochunguza Mchanga wa Madini  kwa Rais Magufuli.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top