Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mali za Ivan mikononi mwa Zari

Kamati ya watu 4 yachaguliwa kusimamia mali za marehemu Ivan Ssemwanga mpaka watoto wake watakapofikisha miaka 18. Zari Hassan yumo.

Wengine waliochaguliwa ni Ritah Ssemwanga(Dada wa Ivan), Lawrence Muyanja(Maarufu kama King Lawrence) na George Ssemwanga ambae ni kaka mkubwa wa Ivan.

Zari ametakiwa kusimamia shule za Ivan zilizoko Afrika Kusini kikiwemo chuo cha Brooklyn na pia nyumba mbili za Ivan zilizoko Sandton na Pretoria.

Zari pia ametakiwa aishi na watoto wake wote kwenye nyumba moja na nyingine ipangishwe.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top