Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mzee Ndesamburo amliza Waziri Mkuu



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewapa pole wanachama wa Chadema kwa kuondokewa na kiongozi wa chama hicho, Phillemon Ndesamburo.

 Ndesamburo ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Chadema, Kilimanjaro, amefariki jana ghafla wakati akipata matibabu katika hospitali ya KCMC.

“Alikuwa ni mchapa kazi na hodari na niwape pole wote akiwamo mtoto wa marehemu Ndesamburo, Lucy Owenya na wanachama wa Chadema,” amesema

 Waziri Mkuu alituma salamu hizo za rambirambi leo asubuhi hii katika kipindi cha maswali na majibu, wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Devotha Minja.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top