Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Rais Magufuli aamua haya kwenye ripoti ya pili ya mchanga wa madini



ALICHOKIAMUA RAIS MAGUFULI BAADA YA RIPOTI YA PILI YA UWASILISHWAJI WA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA MADINI

Rais Magufuli: Mapendekezo yote yaliyotolewa na Kamati hii nayapokea na nimeyakubali kwa asilimia 100

Rais Magufuli: Kwa sababu Sheria zetu ni za hovyo, naomba Wizara ya Sheria ipitie hizi sheria na zipelekwe Bungeni kufanyiwa amendments

Rais Magufuli: Naomba Sheria ya Gesi ipitiwe, hata tukichelewa ni sawa lakini tuwe na sheria nzuri

Rais Magufuli: Wote waliotajwa wapo kasoro rafiki yangu Marehemu Kigoda
- Watafutwe na wahojiwe ilikuwaje wakavumilia huu unyonyaji

Imeandaliwa kwa hisani ya mitandaoni na;

Shilatu E.J
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top