Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mbunge Mary Nagu afiwa na mumewe

 Profesa Joseph Nagu ambaye ni mume wa Mbunge wa Jimbo la Hanang mkoani Manyara, Dk Mary Nagu amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Akidhibitisha kifo cha mume wake, Dk Nagu amesema kwamba marehemu alikuwa akipatiwa matibabu Muhimbili kwa zaidi ya mwezi mmoja na jana alifariki dunia saa 12 jioni.

Alisema mume wake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa figo na moyo kwa muda mrefu.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top