Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Viongozi mbalimbali wajitokeza kumfariji Dk. Mwakyembe

 Rais Mtaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akilakiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe wakati alipofika kumpa pole kwa msiba wa mke wa Waziri huyo mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Rais Mtaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akiongea na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe wakati alipofika kumpa pole kwa msiba wa mke wa Waziri huyo mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda (kulia) akiongea na baadhi ya waombolezaji alipofika kumpa pole Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kwa msiba wa mke wake mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar e s Salaam Mhe. Paul Makonda (kushoto) akiteta jambo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe wakati wa msiba wa mke wa Waziri huyo mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi (kulia) akiteta jambo na Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda wakati walipofika kumpa pole Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kwa msiba wa Mke wake mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Msanii wa muziki wa Kizazi kipya Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz (kulia) akimpa mkono wa pole  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kwa msiba wa Mke wake mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe (kulia) akimpa pole Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kwa msiba wa Mke wake mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyarandu (kulia) akimpa pole Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kwa msiba wa Mke wake mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (wa pili kulia) akiteta jambo na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango wakati walipoenda kumpa pole Waziri Mwakyembe kwa msiba wa Mke wake mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam, kulia ni aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyarandu na kushoto ni aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akiteta jambo na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango wakati alipoenda kumpa pole Waziri Mwakyembe kwa msiba wa Mke wake mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Mbunge wa Bagamoyo Dkt. Shukuru Kawambwa akimpa pole Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kwa msiba wa Mke wake mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia  Mhandisi Stella Manyanya akimpa pole Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kwa msiba wa Mke wake mapema hii leo nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam. Picha na Eliphace Marwa - Maelezo
 Kaimu Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma akimpa pole Waziri wa Habari, Michezo , Utamaduni na Sanaa, Dk. Harrison Mwakyembe kwa kufiwa na Mkewe, Linah Mwakyembe Nyumbani Kunduchi jijini Dar es Salaam.Picha zote na Emmanuel Mssaka,Globu ya jamii.
 Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju akimpa pole Waziri wa Habari, Michezo , Utamaduni na Sanaa, Dk. Harrison Mwakyembe kwa kufiwa na Mkewe, Linah Mwakyembe Nyumbani Kunduchi jijini Dar es Salaam. 
 Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Razalo Nyalandu akimpa pole Waziri wa Habari, Michezo , Utamaduni na Sanaa, Dk. Harrison Mwakyembe kwa kufiwa na Mkewe, Linah Mwakyembe Nyumbani Kunduchi jijini Dar es Salaam. 

 Msanii wa Kizazi kipya Nasbu Abdul (Diamond Platnumz) akimpa Pole Waziri wa Habari, Michezo , Utamaduni na Sanaa, Dk. Harrison Mwakyembe kwa kufiwa na Mkewe, Linah Mwakyembe Nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirkiano wa Kimataifa, Bernad Membe akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Razalo Nyalandu pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda katika Msiba wa Mke wa Waziri wa Habari, Michezo , Utamaduni na Sanaa, Linah Mwakyembe nyumbani Kunduchi jijini Dar es Salaam.

Kaimu Jaji Mkuu , Profesa Ibrahim Juma  akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda katika Msiba wa Mke wa Waziri wa Habari, Michezo , Utamaduni na Sanaa, Linah Mwakyembe nyumbani Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Loyola , wakimpa pole Waziri wa Habari, Michezo , Utamaduni na Sanaa, Dk. Harrison Mwakyembe kwa kufiwa na Mkewe, Linah Mwakyembe Nyumbani Kunduchi jijini Dar es Salaam.
 Picha mbalimbali waliofika katika Msiba wa Mke wa Waziri wa Habari, Michezo , Utamaduni na Sanaa, Linah Mwakyembe nyumbani Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top