Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Dk. Kigwangala adai mkojo una mahusiano na uchochezi

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dr. Hamisi Kigwangalla amesema mkojo waweza kuwa na uhusiano na vitendo vya uchochezi.

Akifafanua suala hilo baada ya mdau kuuliza kwa njia ya mtandao. Je kipimo cha mkojo kinaweza kugundua vimelea vya uchochezi?

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Dr. Kigwangalla alijibu kuwa

"Huwezi kujua, pengine mtu akiwa kwenye 'influence' ya dawa ndiyo anakuwa na propensity ya 'uchochezi' ikigundulika ndivyo anaweza kusaidiwa.

"Ukiwa hujui sayansi unaweza kudhani mkojo hauna uhusiano na vitendo vya uchochezi! Raia mwema huwezi kukataa kipimo chochote, labda mharifu",

Uchochezi waweza kuwa na uhusiano na matumizi ya kemikali zenye kuvuruga akili, hili liko wazi labda uwe mbumbumbu wa sayansi au nyumbu!

aliandika Dr. Kigwangalla.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top