Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SEKRETARIETI YA CCM CHINI YA KINANA YAFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA VIETNAM MJINI DODOMA


Katibu Mkuu wa CCM abdulrahman Kinana akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Chau Van Lam alipowasili kwa ajili ya mazungumzo na Sekretarieti ya CCM chini ya Kinana, jana katika ukumbi wa Kamati Kuu ya CCM, ndani ya Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete nje kidogo ya mji wa Dodoma. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM-zanzibar Jumanne Mabodi. Katikati ni katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
Kiongozi huyo akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Jumanne Mabodi
Kiongozi huyo akiendelea kusalimia viongzi wa CCM
Kiongozi huyo akiendelea kusalimia viongozi wa CCM
Kiongozi huyo akisalimiana na Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka
Kiongozi huyo akimsalimia Katibu Mkuu wa Jumuia ya Wazazi ya CCM
Kinana akimpeleka mgeni wake eneo la kufanyia mazungumzo
Mazungumzo yakianza
Mazungumzo yakiendelea
Mazungumzo yakiendelea
Kinana akitambulisha ujumbe wake kwa mgeni
Katibu wa CCM mkoa wa Dodoma akizungumza na mwandishi wa Uhuru Fm aliyekuwa akifuatilia mazungumzo hayo

Ujumbe wa CCM kwenye mazungumzo hayo
Chau akimpa zawadi Kinana baada ya mazungumzo hayo
Kinana akimshukuru kwa zawadi mgeni huyo
Chau akimpa zawadi nyinyine Kinana
Chau akimpa zawadi ya Kitabu cha misingi ya Kimunisti cha Veitnam, Kinana
Chau akizawadia Kinana tarumpeta la kisili ya Veitnam
Kabla ya kumkabidhi akaliungurumisha kidogo
Kinana akaipokea zawadi
Kisha Kinana akaonyeshwa kidogo namna ya kuliungurumisha
Kisha akalipuliza kwa uhodari
Kinana akapewa zawadi ya kofia ya asili ya Kivietnam
Akaipokea kwa furaha kofia hiyo
Kisha akaivaa kofia hiyo akiifurahia 
Akaendelea kuifurahia kofia hiyo 
Kinana akajibu mapigo na yeye kwa kumpa zawadi ya picha maridhawa ya kuchorwa
Chau akaipokea zawadi hiyo kwa furaha
Kinana akimweleza Chau undani wa picha hiyo
Kisha ikapigwa picha ya pamoja 
Kinana akaagana na mgeni wake
Kinana akimsindikiza mgeni wake baada ya mazungumzo hayo 
Ngemela akizungumza na waandishi kuwajulisha kilichojiri kwenye mazungumzo hayo

ZIFUATAZO NI PICHA ZA MAPOKEZI CHAU ALIPOWASILI DODOMA














Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top